Wezi wa mafuta ya SGR watiwa mbaroni

Jeshi la polisi mkoani Mwanza limewakamata watu wanne  wanaodaiwa kupokea na kuuza mali ya wizi ikiwemo mafuta ya dizeli lita 850 ambayo yanadaiwa kuibwa kwenye ujenzi wa reli ya kisasa SGR, pikipiki mbili, mapipa, madumu na mipira vilivyokuwa vinatumia kusafirishia na kuhifadhia mafuta

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS