Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa licha ya wananchi wengine kupaogopa polisi lakini hata yeye pia kuingia mahakamani hata polisi anapaogopa kama sio sehemu ya kazi.