Vijana acheni ku - bet pigeni kazi - Chongolo

Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Danieli Chongolo amewataka vijana wa Tanzania kuacha  kukaa vijiweni  na ku-bet kwa siku nzima na badala yake wanatakiwa kutafuta ujuzi ambao utawasaidia kupata fursa ambazo zitakazowaongezea kipato

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS