Kuhama Ngorongoro ni kulinda haki za binadamu

Serikali ya Tanzania imeiambia Kamisheni ya Afrika ya Haki za Binadamu kuwa zoezi la kuwahamisha wananchi waliojiandikisha kwa hiari kutoka Hifadhi ya Ngorongoro kwenda katika Kijiji cha Msomera wilayani Handeni mkoa wa Tanga na maeneo mengine  ni kulinda haki za Binadamu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS