Watoa huduma za afya ngazi ya jamii waongezwe Wanawake wa Wilaya ya Nkasi Serikali Wilayani Nkasi Mkoani Rukwa imeombwa kutoa mafunzo zaidi kwa wanawake katika jamii yanayohusu utoaji huduma za afya ngazi ya jamii ili kukabiliana na matatizo yatokanayo na upungufu wa Lishe. Read more about Watoa huduma za afya ngazi ya jamii waongezwe