Harmonize atangaza kwenda kanisani milele
Moja kati ya stori kubwa mtandaoni kwa sasa ni stori kumuhusu msanii Harmonizekuonekana kanisani siku ya jana jambo ambalo wadau mbalimbali wameliongelea kwa mtazamo tofauti wakihusisha msanii huyo kuokoka ilihali ya kuwa yeye anafahamika kuwa ni muislamu