Prof afikishwa mahakamani baada ya kuoa kwa siri

Profesa Christopher Kasanga, akiwa na mke wake aliyemuoa kwa siri

Mahakama ya wilaya ya Morogoro imempandisha kizimbani Profesa Christopher Kasanga wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kwa shtaka la ugoni baada ya kufunga ndoa ya pili kwa siri na mwanamke mwingine Oktoba 29 mwaka 2022

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS