JICA kuongeza fursa kwa watumishi nchini.

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, UTUMISHI Juma Mkomi akisalimiana na Mwakilishi wa ( JICA), Ara Hitoshi.

Katibu Mkuu, UTUMISHI, Juma Mkomi amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan ( JICA),  Ara Hitoshi kuhusu kuimarisha ushirikiano baina ya JICA na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS