Raia wa China wageuka kero, Kariakoo Wafanyabiashara wadogo, Soko la Kariakoo Wafanyabiashara Soko la Kariakoo, wameiomba Serikali kuwaondoa raia wa kigeni ambao wamekuwa wakiuza bidhaa rejareja kwa bei ya chini hali inayopelekea raia wa nchini kukosa wateja. Read more about Raia wa China wageuka kero, Kariakoo