Rais Kikwete atunukiwa Tuzo ya Ustawi wa Vijana

Rais wa Jamhri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.

Vijana wa Afrika wamemtunuku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete moja ya tuzo kubwa zaidi zinayotolewa na vijana wa Afrika kwa kutambua uongozi wake bora na mchango wake katika kuendeleza vijana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS