Wafanyabiashara utalii wataka kuondolewa vikwazo

Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu.

Wafanyabiashara wanaotoa huduma kwa watalii Jijini Arusha, wametaka kuondolewa kwa kikwazo kingine cha tozo katika mipaka ya nchi hizo mbili, ili kuimarisha ushirikiano na kujenga dhana ya uwepo wa soko la pamoja la jumuiya ya Afrika Mashariki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS