Fid Q, Keisha watunukiwa kwa kusaidia jamii

Msanii wa muziki wa bongofleva nchini Keisha

Wasanii wa muziki Farid Kubanda (Fid Q) na Khadija Shaban Keysha, pamoja na mchoraji na msanii maarufu Paul Ndunguru wametunukiwa tuzo za heshima sambamba na Watanzania watano mashuhuri kutoka Umoja wa Ulaya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS