Watanzania watano watunukiwa Tuzo ya Heshima na EU

Kutoka kulia ni baadhi ya Watanzania waliotunukiwa Tuzo ya Heshima na Umoja wa Ulaya nchini EU, kutokana na mchango wao katika kuliletea taifa maendeleo.

Umoja wa Ulaya nchini umewatunuku tuzo za heshima Watanzania watano mashuhuri, kutokana na mchango wa kila mmoja wao katika kuwaletea Watanzania maendeleo, tuzo zilizotolewa ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya mwaka wa maendeleo kwa nchi za Ulaya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS