Jua Cali kuhifadhi misitu Kenya

msanii wa muziki wa nchini Kenya Jua Cali

Rapa Jua Cali kutoka nchini Kenya, akiwa kama balozi wa mbio za riadha za Lari zenye lengo la kuchanga fedha za kuhifadhi msitu mkubwa wa Kereita, anatarajia kuwa sehemu ya upandaji wa miti zaidi ya 50,000, zoezi litakaloenda sambamba na mbio hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS