Waachieni waumini waamue- Kardinal Pengo
Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema maaskofu hawana mamlaka ya kuwaamulia au kuwalazimisha waumini wao juu ya kuikubali au kuikataa Katiba inayopendekezwa.