Majonzi yatawala mamia wakimwaga kocha Marsh Aliyewahi kuwa kocha msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania taifastars marehemu Silvester Marsh. Wadau mbalimbali wa mchezo wa soka wakiwemo ndugu jamaa na marafiki wamejitokeza leo kumuaga Kocha Sylvester Marsh katika safari yake ya mwisho. Read more about Majonzi yatawala mamia wakimwaga kocha Marsh