Nooij aita 27 Stars kuivaa Malawi

Kocha wa Taifa Stars Mart Nooij akiwa mazoezini na baadhi ya wachezaji wa taifa Stars

Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars ) Mart Nooj, ametangaza kikosi cha wachezaji 27 watakaoingia kambini kujiandaa na mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Malawi utakaofanyika uwanja wa CCM Kirumba jijin Mwanza Machi 29, 2015.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS