Yanga kujiuliza kwa wazimbabwe

Kikosi cha wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika timu ya Yanga SC.

Baada ya kufanikiwa kuvuka katika hatua ya kwanza ya michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika Yanga Jumapili hii March 15 mwaka huu itakuwa na kibarua kingine cha mchezo wa kwanza wa raundi ya pili dhidi ya Wazimbabwe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS