Yanga kujiuliza kwa wazimbabwe
Baada ya kufanikiwa kuvuka katika hatua ya kwanza ya michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika Yanga Jumapili hii March 15 mwaka huu itakuwa na kibarua kingine cha mchezo wa kwanza wa raundi ya pili dhidi ya Wazimbabwe.