Vurugu zaendelea kutikisa Tunduma

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya ACP Ahmed Msangi

Gari la kikosi cha Zimamoto limevunjwa vioo na askari wa kikosi hicho kujeruhiwa hii leo baada ya kutupiwa mawe na wananchi katika vurugu zinazoendelea kwa siku ya tatu huko Tunduma Mkoani Mbeya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS