Vyama vya Walemavu wapania kuishtaki Serikali

Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho la Walemavu Tanzania (SHIVYAWATA), Wakili Amon Anastaz.

VYAMA vya Watu wenye ulemavu nchini, wanakusudia kuishitaki serikali kwenye vyombo vya kimataifa, endapo mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino) yataendelea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS