Wananchi waonywa kubeza utamaduni wa Afrika

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo  Yakub Said

Katika kukuza diplomasia na uchumi, Afrika Kusini na Tanzania zitashirikiana katika kazi za utamaduni na utalii, huku wananchi wakihimizwa kutumia kazi za utamaduni kukuza uchumi wa mataifa haya mawili na kuonywa kudharau utamaduni wa Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS