Tanzania yapokea msaada wa shilingi bilioni 210

Tanzania imepokea msaada wa shilingi bilioni 210 kutoka Ujerumani  kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya sekta za afya, maji, utalii, mazingira, utawala bora, kuwawezesha wanawake kiuchumi pamoja na kuboresha mfumo wa kidijitali kwa ajili ya kufuatilia matukio ya vitendo vya ukatili

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS