Equatorial Guinea kufanya uchaguzi mkuu jumapili Rais Teodoro Obiang Nguema anawania muhula wake wa sita mfululizo madarakani. Equatorial Guinea inajiandaa na uchaguzi mkuu wa Urais wakati ambapo kampeni zinatarajiwa kumalizika Ijumaa ya leo kwa ajili ya uchaguzi wa urais na wabunge nchini humo. Read more about Equatorial Guinea kufanya uchaguzi mkuu jumapili