Anayesadikiwa kumuua Khashoggi hakamatiki Marekani imebaini kuwa kiongozi wa Saudi Arabia Mwanamfalme Mohammed bin Salman ana kinga dhidi ya kesi iliyowasilishwa na mchumba wa mwandishi wa habari aliyeuawa Jamal Khashoggi. Read more about Anayesadikiwa kumuua Khashoggi hakamatiki