Ukame wakithiri Kenya

Mamlaka ya Kudhibiti Ukame ya Kitaifa ya Kenya (NDMA) imesema katika chapisho lake jipya lkwamba idadi ya Wakenya wanaokabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula imefikia milioni 4.35, na msimu mfupi wa mvua wa Oktoba hadi Desemba unakatisha matumaini ya mavuno mengi katika maeneo mengi ya nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS