Polisi waua majambazi watatu

Kamanda wa polisi mkoa wa Kagera William Mwampaghale

Watu watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wamefariki dunia kutokana na kupigwa risasi na polisi usiku wa kuamkia jana, baada ya kutokea majibizano ya risasi baina ya kundi la watu watano na askari, katika Kijiji cha Muganza, Kata Mursagamba wilaya ya Ngara mkoani Kagera.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS