Mafunzo ya fedha kukuza uchumi nchini
Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Omary Kipanga ametaka mafunzo ya masuala ya fedha kuendelea kutolewa wa wadau wa habari na wadau wa masuala ya fedha na uchumi, ili kuchochea maendeleo ya uchumi nchini.