Mafunzo ya fedha kukuza uchumi nchini

Mkuu wa Habari East Africa TV na East Africa Redio, Barnabas Mkongwe akiwa na Mkuu Msaidizi wa Idara ya Habari ITV Isaac Mpayo

Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Omary Kipanga ametaka mafunzo ya masuala ya fedha kuendelea kutolewa wa wadau wa habari na wadau wa masuala ya fedha na uchumi, ili kuchochea maendeleo ya uchumi nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS