Serikali yakabidhi kivuko cha MV Sabasaba

Serikari imekabidhi kivuko cha Mv Sabasaba kitakachotoa huduma ya usafiri kwenye kisiwa kisiwa cha Kome halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema mkoani Mwanza hatua inayotajwa kuwaondolea adha ya usafiri wananchi wa kisiwa hicho

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS