"Tunataka Ilemela waache nguo nje wazikute"- Kalli

Kaimu Mkuu wa wilaya ya Ilemela Salum Kalli

Serikali wilayani Ilemela mkoani Mwanza imewaonya vijana wasio waaminifu ambao wamekuwa wakijiunga kwenye makundi ya uhalifu kama panya road na kusema atakayejaribu kufanya hivyo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS