Wanne wakamatwa kwa tuhuma za kuiba watoto

Kamanda  wa  Polisi mkoa wa Mwanza Wilbroad Mutafungwa

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu  wanne kwa tuhuma za kuiba Watoto wenye umri wa kuanzia miezi mitatu hadi nane na kisha kuwatelekeza huku wengine wakiwapeleka kwa wenza wao na kujifanya ni watoto wao

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS