Shilole awashukuru waliomwombea

Kupitia ukurasa wake wa Instagram @OfficialShilole, Shilole amesema amemwona Mungu kwa macho yake na kwamba baada ya ajali hiyo bado yuko hai kwa neema zake akiwashukuru wote waliomtumia jumbe, waliompigia simu yeye pamoja na watu wake wa karibu, na kumuombea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS