Serikali yaombwa upatikanaji wa maji Meatu
Imeelezwa kuwa miradi mitatu ya maji iliyojengwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) eneo la Kisesa Wilaya ya Meatu mkoani Simiyu, imekumbwa na upungufu wa maji hali inayodaiwa kushindwa kutoa huduma hiyo muhimu kwa wananchi