Matola aondoka Simba SC

Uongozi wa Klabu ya Simba umethibitisha kuwa Kocha wao Msaidizi wa Simba, Seleman Matola ataondoka kwenye benchi la ufundi la timu hiyo kwa muda kwaajili ya kwenda kwenye kozi ya Ualimu ya leseni A ya CAF, itakayoanza Novemba 21 mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS