Wananchi wadai hawaogi kisa uhaba wa maji

Wakazi wa kijiji cha Tupendane  kata ya Ndono wilayani Uyui wanalazimika kutumia zaidi ya saa sita kusubiri kupata maji  lita 20 kila kaya  kwa siku kutokana na uhaba wa maji katika maeneo hayo ambapo wameiomba serikali kuwapelekea  mradi wa maji utakaotatua adha hiyo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS