Wananchi wadai hawaogi kisa uhaba wa maji
Wakazi wa kijiji cha Tupendane kata ya Ndono wilayani Uyui wanalazimika kutumia zaidi ya saa sita kusubiri kupata maji lita 20 kila kaya kwa siku kutokana na uhaba wa maji katika maeneo hayo ambapo wameiomba serikali kuwapelekea mradi wa maji utakaotatua adha hiyo