"Mnavyosema tunapendeza mnatuchanganya" Harmonize Picha ya Harmonize na Feza Kessy CEO wa Konde Music Worldwide Harmonize amejibu kinachoendelea kati yake na mrembo Feza Kessy ambao wame-make headlines mitandaoni baada ya kushea picha zao wakiwa pamoja beach. Read more about "Mnavyosema tunapendeza mnatuchanganya" Harmonize