Benin watua Dar tayari kuwavaa Stars Jumapili hii

Kikosi cha timu ya taifa ya Benin kitakachoivaa taifa stars siku ya jumapili October 12 mwaka huu.

Kikosi cha wachezaji 18 na viongozi 11 wa timu ya Taifa ya Benin, kimetua jijini Dar es Salaam tayari kwa mechi ya Kalenda ya FIFA dhidi ya Taifa Stars itakayochezwa Jumapili (Oktoba 12 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS