Wakili wa vilabu aikacha Kamati ya Nidhamu ya TFF

Wakili wa vilabu vya ligi kuu ya soka Tanzania bara Dr. Damas Ndumbaro pichani [kulia]

Baada ya Kamati ya Nidhamu ya TFF kumwandikia barua ya wito wakili anayevitetea vilabu katika mvutano wa kupinga makato ya asilimia Tano za pesa za wadhamini, hii leo Wakili huyo ameshindwa kuudhuria kikao hicho kilichofanyika hii leo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS