TANZANIA IMEJIPANGA KUUKABILI UGAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Tanzania, Bernad Membe

Serikali ya Tanzania imesema kuwa imejipanga vizuri katika kuilinda nchi kutokana na vitisho na matukio ya ugaidi yanazozikabili nchi za Afrika Mashariki hususani nchi jirani ya Kenya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS