Michuano Wavu Klabu Bingwa yatimba hatua ya pili Mwenyekiti wa chama cha mchezo wa Wavu nchini TAVA, Augustino Agapa Michuano ya Wavu Klabu bingwa Taifa ineandelea leo Uwanja wa Jamhuri mkoani morogoro ambapo timu shiriki za michuano hiyo zimeingia hatua ya pili ya mzunguko. Read more about Michuano Wavu Klabu Bingwa yatimba hatua ya pili