Sarafu mpya kuanza kutumika Oktoba Mosi

Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki wa BoT Bw. Emmanuel Boaz (kulia) akionyesha sarafu mpya ya shilingi mia tano ambayo itaanza kutumika Oktoba Mosi mwaka huu.

Benki Kuu ya Tanzania imesisitiza kuwa sarafu mpya ya shilingi mia tano itaanza kutumika Oktoba Mosi mwaka huu kama ilivyopangwa hapo awali, sambamba na pesa ya noti kwa ajili ya manunuzi yote yenye thamani ya shilingi mia tano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS