Julio ataka ushirikiano zaidi

msanii wa bongofleva nchini Julio Batalia

Julio Batalia, msanii wa Bongofleva nchini amewataka wasanii wa Tanzania kuongeza upendo ushirikiano na umoja ili kuwa na nguvu ya kufanya kazi nzuri zaidi na kufanya muziki wa Tanzania utambulike vizuri Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS