Joh Makini: tujifunze kutoka nje msanii wa bongofleva nchini Joh Makini Rapa Joh Makini amesema kuwa, ni muhimu kwa wasanii kukaza na kutumia vizuri nafasi ambazo wanazipata kukutana na wasanii wakubwa kutoka nje, na pia kutumia nafasi hizi kujifunza na kupanua muziki wao binafsi. Read more about Joh Makini: tujifunze kutoka nje