Talib Kweli kutua Kenya Oktoba

msanii wa nchini Marekani Talib Kweli

Talib Kweli, rapa wa kimataifa kutoka Marekani anatarajia kutua nchini Kenya tarehe 23 mwezi Octoba ambapo atakuwa DJ mshereheshaji katika tukio kubwa la kiburudani huko Westlands Nairobi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS