Akon kuinua wasanii Kenya

msanii wa muziki nchini Senegal Akon akiwa na rais Uhuru Kenyatta wa Kenya

Ziara ya msanii wa muziki Akon nchini Kenya, inatarajiwa kuwa na manufaa pia kwa wasanii wa muziki wa nchini humo kwani kati ya mambo aliyozungumza na kiongozi mkuu wa nchi hiyo, ni kuanzisha mpango wa kuinua vipaji vya wasanii hawa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS