Taifa stars/Benin zafuta pambano la watani Oct. 12
Lile pambano lililokua likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki na wapenzi wa soka kote nchini hususani mashabiki wa timu za Simba na Yanga lililokua lifanyike Octoba 12 mwaka huu katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam limesogezwa mbele