Taifa stars/Benin zafuta pambano la watani Oct. 12

Beki Said Nassoro 'cholo' wa Simba kushoto akichuana na kiungo Haruna Niyonzima wa Yanga kulia.

Lile pambano lililokua likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki na wapenzi wa soka kote nchini hususani mashabiki wa timu za Simba na Yanga lililokua lifanyike Octoba 12 mwaka huu katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam limesogezwa mbele

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS