Walalahoi wamgharimu Izzo Bizness

msanii wa bongofleva nchini Tanzania Izzo Bizness

Rapa Izzo Business, ameweka wazi kuwa kazi ambayo inatarajia kutoka kwake kwa sasa, Video ya Walalahoi, imemgharimu kiasi cha shilingi milioni 1 na laki 3, na kwa kiasi hicho tu ameweza kufanya kazi yenye kiwango cha hali ya juu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS