Serikali yaidhinisha bilioni 290 kwa NEC

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva.

Serikali ya Tanzania imeidhinisha zaidi ya shilingi bilioni 290, kwa ajili ya kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura ili liwe la kidijitali, zoezi litakaloendeshwa na kusimamiwa na tume ya taifa ya uchaguzi - NEC.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS