Wito Polisi iache ukiukwaji wa haki za binadamu

Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha CUF, Profesa Ibrahim Lipumba.

Jeshi la polisi nchini Tanzania limetakiwa kujiangalia upya katika utendaji wa kazi zake na kuacha kukiuka haki za binadamau ikiwemo kutowapiga ama kuwatisha waandishi wa habari wakati wanatekeleza majukumu yao ya kikazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS