Kauli ya Rais yaungwa mkono na vyama vya siasa

Wenyeviti wa vyama mbalimbali nchini

Baraza la vyama vya siasa nchini kwa kushirikiana na wenyeviti wa vyama mbalimbali vya siasa, wameeleza kuunga mkono hatua ya Rais Samia ya kuruhusu mikutano ya hadhara na kusema hali hiyo imeonesha ukomavu wa demokrasia iliyopo nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS