Wahariri waja juu sakata la kupigwa waandishi

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini Tanzania Absalom Kibanda (anayezungumza na simu) akisalimiana na Mhariri wa gazeti la Tanzania Daima Ansbert Ngurumo.

Jukwaa la wahariri nchini Tanzania limesema litamwandikia barua mkuu wa jeshi la polisi IGP Ernest Mangu kutaka askari wote walioshiriki kuwapiga hadi kuwajeruhi waandishi wa habari hapo jana kuchukuliwa hatua za kinidhamu ikiwemo kufukuzwa kazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS